Kikao cha matayarisho ya siku ya Wanakihesa 2/12/2012, inayotegemewa kufanyika Makumbusho Dar es Salaam kimekuwa cha mafanikio makubwa kwa wajumbe kuwa wengi zaidi, wajumbe wamezidi kufanikisha michango yao,na kuwa mpaka sasa zimekusanywa zaidi ya shilingi milioni mbili na nusu. Leo tena kikao kilichangamka sana kikiwa na wajumbe wengi zaidi akiwemo Brown Mbigili, ambaye aliburudisha kikao kwa kutukumbusha Rais wa Kihesa…Mtambule marehemu Mzee Mbigili. Picha za kikao
No comments:
Post a Comment