MZEE Jackson Mvangila Makweta, Mbunge wa Njombe wa muda mrefu (1975-2000), na Mzee
aliyewahi kushika nafasi ya kadhaa za Uwaziri katika serikali ya Tanzania amefariki jioni
hii katika hospitali ya Muhimbili kutokana na matatizo ya Moyo Mungu Amlaze
pema peponi Amen
No comments:
Post a Comment