Pages

Saturday, November 17, 2012

MHE. JACKSON MAKWETA AFARIKI DUNIA


MZEE Jackson Mvangila Makweta, Mbunge wa Njombe wa muda mrefu (1975-2000), na Mzee aliyewahi kushika nafasi ya kadhaa za Uwaziri katika serikali ya Tanzania amefariki jioni hii katika hospitali ya Muhimbili kutokana na matatizo ya Moyo Mungu Amlaze pema peponi Amen

No comments:

Post a Comment

STAT COUNTER