Pages

Wednesday, August 4, 2010

Prefect wangu


Abbas Kandoro alikuwas prefect wangu Aga Khan Secondary, siku hizi Lugalo Secondary Iringa. Namfahamu toka enzi hizo . Nina uhakika atafaa sana kuwa Mbunge wa Kalenga. Kalenga mtakuwa mmelamba dume mkimchagua Kandoro

STAT COUNTER