Pages

Sunday, October 7, 2012

MBUNGE WA ZAMANI WA MUFINDI AFARIKI DUNIA

Habari zilizotufikia muda si mrefu ni kuwa Mbunge wa zamani wa  Jimbo la Mufindi  kusini, Mhe.Benito Malangalila amefariki dunia  jana katika hospitali ya wilaya ya Mufindi mjini Mafinga mkoani  Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amina.

No comments:

Post a Comment

STAT COUNTER