Pages

Tuesday, October 23, 2012

MATAYARISHO YA SIKU YA WANAKIHESA YAPAMBA MOTO

Katika kikao cha wanaKihesa cha kutayarisha siku ya wanakihesa tarehe 2/12/2012, wanaKihesa waliokusanyika siku hiyo waliweza kukusanya shilingi laki saba cash. Wajumbe wa kikao wamekubaliana kuwa kikao kijacho  cha tarehe 4/11/2012 kuwa ni muhimu sana watu wengi kufika kwani ndicho kitatoa picha kamili ya maandalizi ya ya tamasha.
 Pia tarehe 22/10/2012 matangazo ya tamasha yata anza kurushwa hewani rasmi na vituo vya Country Fm Iringa, na siku chache baadae vituo vya Clouds na Radio Free Africa vitaanza kutangaza taarifa za tamasha hilo.

No comments:

Post a Comment

STAT COUNTER