Katika kikao cha wanaKihesa cha kutayarisha siku ya wanakihesa tarehe 2/12/2012, wanaKihesa waliokusanyika siku hiyo waliweza kukusanya shilingi laki
saba cash. Wajumbe wa kikao wamekubaliana kuwa kikao kijacho cha tarehe 4/11/2012 kuwa ni
muhimu sana watu wengi kufika kwani ndicho kitatoa picha kamili ya maandalizi
ya ya tamasha.
Pia tarehe 22/10/2012 matangazo ya tamasha yata anza kurushwa
hewani rasmi na vituo vya Country Fm Iringa, na siku chache baadae vituo vya Clouds na Radio Free Africa vitaanza kutangaza taarifa za tamasha hilo.
No comments:
Post a Comment