Pages

Wednesday, August 4, 2010

Prefect wangu


Abbas Kandoro alikuwas prefect wangu Aga Khan Secondary, siku hizi Lugalo Secondary Iringa. Namfahamu toka enzi hizo . Nina uhakika atafaa sana kuwa Mbunge wa Kalenga. Kalenga mtakuwa mmelamba dume mkimchagua Kandoro

1 comment:

  1. Kwa kweli wanakalenga wameshindwa kupitisha bwana Kandoro kwa sababu ambazo watu ni vigumu kuelelza wazi. Nampongeza Kandoro kwa ukomavu wake wa kisiasa na inatakiwa ajipange zaidi mwaka 2015 ataupata tu huo ubunge wa jimbo la kalenga

    ReplyDelete

STAT COUNTER