Katika mambo muhimu yaliyofanyika katika siku ya Kihesa ni kutoa tuzo kwa wazee ambao kwa namna moja au nyingine waliifanya Kihesa iwe ilivyo leo. Mgeni wa Heshima na mwana Kihesa Raymond Peter Mbilinyi (Mkurugenzi TIC) alitoa Tuzo hizo za heshima;
WAZEE KUMI WA
KIHESA WALIOPEWA TUZO KATIKA SIKU YA
KIHESA (KIHESA DAY)
1.
Marehemu Mzee Jumbe Omary Mwambuma –(Muwakilishi)
Obed Abdallah Jumbe Omary
2.
Marehemu Mzee Lupembe Mgopinyi-(Muwakilishi)
Joseph Lotti Lupembe
3. Mzee Lucas Vigungula Mtumbuka
4.
Marehemu Mzee Emmanuel Abraham Mwachang’a-(Muwakilishi)
Sinai Emmanuel Mwachang’a
5.
Marehemu Mzee Philipo Sawani Pilla (mwakilishi)
Cain Mathew Sawani
6.
Marehemu Mzee Anderson Zabron Mwanyato
(Mwakilishi ) Lillian Anderson Senyatto
7.
Mr Seth Metusela Mwamotto
8.
Profesa Jailos Amos Matovelo Mwampogole(
Mwakilishi) George Kimbe
9.
Marehemu Norbert Zul (Mwakilishi) Julieth Zulu
10. Benedict Kimbisa
WAZEE WANNE WAWAKILISHI WA WAZEE
WOTE KIHESA
1.
Marehemu Bernard Mtarusto Mbigili (Mwakilishi)
Fredyy Bernard Mbigili
2.
Elizabeth Semsamba Kihahe (Mwakilishi) Libe
Semsamba
3.
John Mauya Kihade (Mwakilishi) Emmanuel Minila Mahingila
4.
Margreth Nyagawa (Mwakilishi) mama Diana
Mzee Lucas Mtumbuka |
Nimeipenda hii introduction ya blog hii...
ReplyDelete