MwanaKihesa Ahmed Wanguvu amefiwa na mama yake mchana wa tarehe 11/11/2012 Kihesa Iringa. Mazishi yatakuwa tarehe 12/11/2012. Kwa kutoa salamu za rambirambi unaweza kutumia namba za Ahmed 0754 319850 na 0767 290300.
Mungu amlaze mama yetu pema peponi
No comments:
Post a Comment