 |
MwanaKihesa Mage |
Jumapili tarehe 18/11 kuna kikao muhimu kwa Wanakihesa, Wanakihesa wote mnakaribishwa kwenye kikao hiki cha maandalizi. kama kawaida kikao kitakuwa KGB Hotel Riverside kuanzia saa 9 mchana, tutangaziane.
Matangazo ya sherehe yetu ya mwezi Desemba yataanza katika Clouds Radio wiki hii, na yaendelea hadi kilele cha siku muhimu ya siku ya Wanakihesa mwanzoni mwa Desemba.
No comments:
Post a Comment