-->
Mzee huyu wa kabila
la Kibena alikuwa mkulima wa kawaida sehemu za Isimani kama ilivyokuwa
kawaida ya wazee wengi waanzilishi wa Kihesa. Baada ya mavuno mazuri
walijenga nyumba zao Kihesa. Mzee
lotti alijizolea umaarufu Kihesa kwa tabia yake ya kujitolea kupita
asubuhi na mapema karibu kila mtaa na kutoa matangazo kwa wananchi , kwa mfano
mtoto kapotea, ama kuna msiba umetokea n.k, kutokana na umaarufu huo wa Mzee
Lotti, pale kihesa kuna mtaa unaitwa kwa LOTTI LUPEMBE .
No comments:
Post a Comment