Pages

Monday, October 8, 2012

WAZEE WA KIHESA 3- MZEE LOTTI LUPEMBE

-->   Mzee huyu wa kabila la Kibena alikuwa mkulima wa kawaida sehemu za Isimani kama ilivyokuwa kawaida  ya wazee wengi waanzilishi wa Kihesa. Baada ya mavuno mazuri walijenga nyumba zao  Kihesa. Mzee lotti alijizolea umaarufu  Kihesa kwa tabia yake ya kujitolea kupita asubuhi na mapema karibu kila mtaa na kutoa matangazo kwa wananchi , kwa mfano mtoto kapotea, ama kuna msiba umetokea n.k, kutokana na umaarufu huo wa Mzee Lotti, pale kihesa kuna mtaa unaitwa kwa LOTTI LUPEMBE .

No comments:

Post a Comment

STAT COUNTER