Pages

Sunday, September 16, 2012

WANAKIHESA WA DAR ES SALAAM, WAKUTANA KUPANGA MAMBO YAO

Mkutano wa pili WanaKihesa ulifanyika leo katika hotel ya KBG maeneo ya Riverside Ubungo. Nia ya mkusanyiko huu ni kuangalia namna ya WanaKihesa kuweza kukutana na kushirikiana katika mambo yao ya pamoja. Tarehe 2 Dec 2012 ni siku ambayo imekubalika kuwa siku ya WanaKihesa, hivyo kutakuwa na shughulimbalimbali zitakazofanyika siku hiyoikiwemo chakula cha pamoja vinywaji, na michezo mbalimbali ikiwemo muziki wa bendi hasa Tancut.MKutano ujao tarehe 30 September 2012












No comments:

Post a Comment

STAT COUNTER